Advertisements

Sunday, January 25, 2015

HABARI NDIYO HII ALIKIBA NA DIAMOND KWENYE SHOW YA TIGO LEADERS

Jana ucku pale leaders! Mtoto wa tandale kwa MASELA walimrushia chupa za maji yeye akawarushia HELA wafanye nauli wakalale na njaa huku wana bifu nawaita wasela njaa.

 Kiba 4ril waliotaka kuanza kumrushia MAKOPO akawatuliza kwa bonge la show lililojaa ril VOKAL siku hizi anajua kudance pia, Mwisho wa siku wote wako poa kuna tofauti kati ya USHINDANI na BEEF wa tz wengi hatuelewi, ikifa SIMBA timu YANGA itacheza na nani? BE GUD!

No comments: