Jumuiya ya Watanzania usiku wa jana ilifanya Dinner Gala ya kukata na shoka katika Ukumbi wa Safari Texas Ranch. Mgeni rasmi katika Dinner hiyo iliyohudhuriwa na idadi kubwa wa Watanzania kutoka nje na ndani jiji la Houston alikuwa ni Sheriff wa Harris County Adrian Garcia. Pata picha za shughuli hiyo hapa chini.
Sheriff Garcia akiwa na wenyeji wake kutoka kushoto Mahono, Katibu Nkunga, Monica, Madam President Nuru Mazora,Mrs.Garcia,Mama Tenende na Mzee Tenende
Sheriff Garcia akipata selfie na wenyeji wake
Madam President Nuru Mazora akiwa na Sheriff Garcia
Garcia, Tenende and Nkunga
Team ya Uongozi wa THC kwenye picha ya pamoja
Wana Houston
Mkurugenzi mteule wa TPDC Dr James Mataragio (wa pili kutoka kulia) akiwa na wadau wa Houston
Madam President wa THC akiwa na Mrs.Garcia
Da Linda from Atlanta
Rahim Chomba akiwa na Shasha
Drew & Wash Drew
more pics : http://mlongokihoma.blogspot.com/2014/12/thc-1st-gala-dinner-yafanyika-houston.html
1 comment:
A huge community of 10! 😜
Post a Comment