Advertisements

Saturday, October 25, 2014

MTOTO WA NAIBU WAZIRI WA ZAMANI WA AFYA JONAS NKYA AKANA TUHUMA ZA KURUSHIANA RISASI NA MAMA YAKE

Mtoto wa Naibu Waziri wa Afya wa zamani Jonas Nkya

Jonas Nkya mtoto wa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro kusini masgariki Lucy Nkya amewaambia waandishi wa habari kwamba habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijami kwamba amerushiana risasi za moto na mama yake mzazi ofisini kwao leo mkoani Morogoro.

Jonas Nkya amesema kilichotokea alipokwenda ofisini hapo kuchukua gari alielekee shamba bastola ilidondoka chini na ikajifyatua risasi moja na kuzua taharuki kwa watu. Kwanza mimi sina ugomvi wowote na mama yangu mimi nilikua shamba narudi nashangaa nimezungukwa na waandishi wa habari wakitaka kujua ukweli wa habari hizi.

Mimi nashanga habari zilizozagaa kwenye mitandao zimetokea wapi.

1 comment:

Anonymous said...

mazishi tu huyu mkuu tapeli mkubwa pale mji kasoro bahari njooni mujione wenyewe mkinunu gari kutoka kwake.

tamaa za urithi wa mali unamuhangaisha.roho ya uchuu tuu.