Advertisements

Tuesday, October 28, 2014

CHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU



Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya, vifaa vya kutayarishia, uvutaji wa madawa, usafirishaji na utumiaji wa madawa hayo ambayo alikamatwa nayo kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Oktoba 23, 2014.
Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' akiwa chini ya ulinzi akipelekwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu leo.
...Akielekea kwenye 'karandinga' tayari kwa safari ya Segerea.
\
...Akiingia ndani ya 'karandinga' mara baada ya kuahirishwa kwa kesi yake.
Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya, vifaa vya kutayarishia, uvutaji wa madawa, usafirishaji na utumiaji wa madawa hayo ambayo alikamatwa nayo kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Novemba 23, 2014. 


Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 11 mwaka huu na msanii huyo ametupwa rumande kwa kukosa wadhamini. Hata hivyo, atarudishwa kesho kukamilisha taratibu za dhamana ambapo wadhamini wawili walitakiwa kutoa Shs. Milioni moja kama bond.

1 comment:

Anonymous said...

Wabongo bwana