Advertisements

Monday, April 21, 2014

WEMA SEPETU ASHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL, WEUSI, WANAUME FAMILY WAFUNIKA SHOO YA PASAKA DAR LIVE

Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Wema akiwashukuru mashabiki wake waliompigia kura na hatimaye kuibuka mshindi.
...Akiwapa tano mashabiki waliofurika Dar Live katika Sikukuu ya Pasaka.
Wema, Wema, Wema... mashabiki wakimshangilia 'Beautiful Onyinye' baada ya kutangazwa mshindi.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa lililokuwa likiendesha shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Amran Kaima (kulia) akipozi na mshindi Wema Sepetu. Kushoto ni shabiki wa Wema.

Amran Kaima akielezea mchakato uliotumika kumpata mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shangwe za Dar Live.
Mratibu Mkuu wa kampuni ya Global Publishers, Luqman Maloto akiwakaribisha Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho na msanii Nikki wa Pili kukabidhi tuzo kwa mshindi.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho akiongea machache kabla ya zoezi la utoaji tuzo.
Msanii kutoka kundi la Weusi, Nikki wa Pili akimtaja mshindi.
Wema Sepetu akiwa stejini baada ya kutangazwa mshindi.
Nikki wa Pili akimkabidhi tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl, mrembo Wema Sepetu.
Wema akipozi na tuzo yake.
Wema akicheza wimbo wa Number One ulioimbwa na mpenzi wake Diamond Platnumz baada ya kutwaa tuzo.
Washereheshaji katika usiku wa Pasaka, Pamela Daffa na Benjamin Mwanambuu wakifanya yao stejini.
Said Fella (wa pili kushoto) akiwa na crew ya Madj ndani ya Dar Live.Dogo Aslay akiwapagawisha mashabiki wa burudani waliofurika ndani ya Dar Live.
...Aslay akijiachia na shabiki wake aliyepanda stejini kumpa sapoti.
...Akimchombeza shabiki mwingine aliyepanda stejini.
Kundi la TMK Wanaume Family likifanya vitu vyao stejini.
Mhe. Temba akiwarusha mashabiki wa Dar Live.
Chegge Chigunda 'Mtoto wa Mama Said' akizikonga nyoyo za wana Dar Live.
TMK Wanaume Family wakizidi kulishambulia jukwaa la Dar Live la kupanda na kushuka.
Wana Hip hop wa Kundi la Weusi, Joh Makini (kulia) na G-Nako wakiwapa raha mashabiki.
Mashabiki wakifuatilia shoo ya Weusi.
Joh Makini kazini.
G-Nako akiwadatisha wapenzi wa Hip hop. GPL

No comments: