Advertisements

Wednesday, April 16, 2014

CHADEMA NA CUF KUJITOA BUNGE LA KATIBA,MH:MWIGULU NCHEMBA ALITABIRI TUKIO HILO KUTOKEA KUANZIA MWANZO WA MCHAKATO,VIDEO HII HAPA


4 comments:

Anonymous said...

Huyu Mheshimiwa Mchemba anaongea kama nani katika Bunge hili. Mbona nalazimisha mambo ambayo wanachama wa bunge wengine hawayapendi. Kila mjumbe anayo haki ya kutoa maonyi yake. Yeye anasema sirikali tatu over his dead body, Muungano kuvunjika over his dead body. Basi haina haja ya kujumuika katika bunge hili kupeana mawazo. Vile anavyoongea inaelekea kama vile ndie kiongozi wa nchi au wa serikali. Au pengine ametumwa kuongea hivyo. He is talking with authority.

Anonymous said...

Yes, Hon. Mchemba is talking with authoritative language as if this country is his personal property. This is not democracy, otherwise there is no need to have this Bunge La Katiba. I hope all members have equal rights to air their views. Members are in this Bunge to solve people's issues democratically. If you say with authority that if something happens it will happen over your dead body. Do you want to cause revolution to avoid changes? This is an indication that you will revolt militarily if majority members decide issues against your wishes. What language is this? Do you possess this country personally that others don't have rights to say anything against your wishes? Please try to be civilized in a meeting like this where members are exchanging ideas for the benefit of the country.

Fjb said...

Sasa nyinyi hapo juu mmekasirishwa na nini, kwani nyinyi mngependa ushoga au udini uigawe Tanzania? Maana sio mnaandika tuu kwa ku peak words. Sikiliza kila alichokisema mheshimiwa

Anonymous said...

Dictator a tupisheni CCM wananchi tunataka serikali Tatu Kama ilivo USA period!!!!!!!!!!!!🙅 full stop!.